1 Chronicles 6:33-38

33 aWafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao: Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa:
Hemani, mpiga kinanda,
alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,

34 bmwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu,
mwana wa Elieli, mwana wa Toa,

35 mwana wa Sufu, mwana wa Elikana,
mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,

36 mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli,
mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,

37 cmwana wa Tahathi, mwana wa Asiri,
mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,

38 dmwana wa Ishari, mwana wa Kohathi,
mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;
Copyright information for SwhKC